GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Hahaha lazma mtakana tuYanga hatunaga hata habari hizo
Kama nakuona vile kwa furaha ya ushindi,safariaa hii ukipewa nauli ya dar lazima uje umevaa jezi ya makolo sio ya arse8 tenaKinehe?
Bado mtasena Tu.Mimi YANGA damu ila simba mmeingia robo final kwa kishindo
Umeona ewhDuh, eti ishafika Dk ya 73
Hizi dakika vipi mbona zinakimbia na Sisi bado Kabumbu tunalitaka