Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Uthitheme Sita,thema thiiiita.Siiiiitaaaaaa
Hiyo sisi tuliipata kitambo sana (2012), yani huko Yanga Sc kila mnachofanya hakuna kipya kwa Simba Sc.Furaha mnayopata kushinda tano sisi tulishaipata tulivyowapiga makolo kono la nyani.
6Oya Mod badilisha hapo.juu ni TANO
Teeh kwahiyo vilabu vya afrika wanaojua mpira ni waarabu tu, hivi mamelodi nao ni waarabu eh, hawa galaxy waliwahi kutupiga tatu hapa hapaHawa nao kwani ni warabu?
Mnooooooooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo sina haja na negative vibesss labda unifate mwenyewe..leo ni furahaaa furahaaa snaa unyamani...
Umuoni Kipa.anataka Kulia kipa wa Galaxy anataka kuliaHawa galaxy mbona ni kama wameshaona yanini fungeni tu [emoji1787][emoji1787]