Hahaha[emoji23]Anayemtaka mke wangu aje amchukue
Siyo kwa raha hzi za simba [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nasikia kabadili gia angani na kuhamia Simba hahahaaKawa mpole saivi kama kuku aliyenyeshewa na mvua Bantu Lady 😃😃😃
Shangwe ila kilio kwa vyura wa Jangwani 🤣Jamani kwa raha nilizonazo ngoja niandike tuu kusoma nitasoma badae
Utakufa kwa raha wewe mtuDaaah This is Simbaaaaaaaaaa
Bantu LadyDaaah This is Simbaaaaaaaaaa
Acha kuchanganyikiwa bana, yaani hao Horoya wamekuwehusha hivi? Yanga kafata nini hapo?
Mmepata wa kuwaonea mnatanuka mbavu...
Simba anamaliza shughuli yake leo hii,walichonga saana ngoja tuwaone na wao kesho watakalia ngapi za Mwarabu.Watani Utopolo mko wapi Sio Vizuri Kutuachia Uzi mjue...!
Yani acha tuu broUtakufa kwa raha wewe mtu