FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Baada ya kufungwa bao 1 kule kwao

"Ooh wale Horoya wako vizuri kwa mipira ya kutenga hususani kwenye kona Kwasababu ya vimo vyao"

Leo wanapiga kona ya sabini lakini hata on target hakuna

Sijajua leo wamechezesha ma dwarf au niaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…