OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tulia uone kazi ya kiume. Tunapiga 3 klabu bingwa sio kombe la luzaMwenye Avatar ya Mo leo mwanzo mwenga, yupo live hapa πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπ π π π π π π
Tulia weweTimu iliyopo kwenye Ishirini ya vilabu Bora Afrika, unaifananisha na Coastal union huyo Utopolo tu hamfikii
Wanachana mkekaKule St. Marys Kitende
Vipers 1-1 Raja
Njoo kwenye comment yako MkuuFix sana we jamaa.. leo mtapigwa kipigo cha mbwa koko,kipigo ambacho chozi lake litawatokea ulimini! Kipigo Chenye pigo lisiloisha ukali wake!
Baadae mtakuja kusema Simba Sc kashinda kwasababu Horoya ni wabovu.Mechi ishaisha hii baada ya hii penalty.
Daah poleni sana Simba fans,leo mnapata sare...mjiandae kisaikologia msije sema sikuwaambia
Mi apa [emoji7]Bora yule mganga wa kinyumenyume mlimpiga chini. Huyu sasa msimuache. Horoya ni Coastal Union iliyochangamka...
Unajifichaga hapa, unachungulia kwa jicho moja. Leo unatamba haya siku yenu leo.Tulia uone kazi ya kiume. Tunapiga 3 klabu bingwa sio kombe la luza