FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Hao jamaa wataenda kusimulia hii pumzi ya moto, sijui Raja walitufungaje!!!
 
ACL
Screenshot_2023-03-18-19-50-44-40_955f68c4df44ad6a86e46b05cf65099a.jpg
 
Simbaaa rahaaaaaaa jamaniiiii
Leo ni kunywa tuu ka wine na tunyama twa kukaaanga
 
Simba Leo Wana cheza mpira sio utani.
Leo nimeikubali timu yangu ya Simba kweli wanacheza kama inavyo takiwa.

Wanacho takiwa kufanya kipindi Cha pili ni kucheza kwa nguvu na bidii kama walivyo cheza kipindi Cha kwanza, kamwe wasijaribu kulinda bao 3 kwa kurwlax na kupoteza muda, watalia.
 
Simba Leo Wana cheza mpira sio utani.
Leo nimeikubali timu yangu ya Simba kweli wanacheza kama inavyo takiwa.

Wanacho takiwa kufanya kipindi Cha pili ni kucheza kwa nguvu na bidii kama walivyo cheza kipindi Cha kwanza, kamwe wasijaribu kulinda bao 3 kwa kurwlax na kupoteza muda, watalia.
 
Back
Top Bottom