Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #681
Bado tuna kazi mtaniHongera Mtani
Finali hii hapa...Shida ni Mamelodi na Al Ahly. Mkitoboa hapo huyu hapa Raja Casablanca kwenye fainali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tuna kazi mtaniHongera Mtani
Finali hii hapa...Shida ni Mamelodi na Al Ahly. Mkitoboa hapo huyu hapa Raja Casablanca kwenye fainali
Mungu hasikilizi majunguLolote baya liwakute simba kwa uwezo wake mungu.....
Bado tuna kazi mtani
Ni kweli. Hizo pesa zingeenda kujenga madarasa ingekuwa bora zaidiNi kweli, ila hatuna haja ya kufikiria hizo hela maana tukiingia tu robo fainali tuna zaidi ya 1.4B. Hizo tuwaachie Yanga wapige nazo picha
Kwa ushindi huu, bila shaka utakipata unachohitaji PP wangu.[emoji4]Nilikuwa nakufuatilia kimya kimya naona namna gani uko na furaha, hiyo furaha nilikuwa nina kazi nayo baadaye..!!
Ahsante...!!
UnaendeleajeWanawachukulia poa horoya halafu ushindi wa vipers umewasahaulisha kwamba wao ni wabovu , sasa leo ndo ile siku watu wanaenda kuaibika
Ila unanichekeshaga sana mkuu...Ukikutana na shabiki la UTO mpige kofi la daima mbele nyuma
timu ya walevi hii
Kitaeleweka mbele kwa mbele. Cha msingi tunayekutana nae iwe kwake au Lupaso tukaze buti tu. Simba Kama Real Madrid linapokuja swala la UefaBado tuna kazi mtani
Bahati tuuHivi ilikuwaje yule Mwarabu akatupiga pale Lupaso?![emoji849]
Walitukataza kutia dua usiku wa kuamkia mechiHivi ilikuwaje yule Mwarabu akatupiga pale Lupaso?!🙄
[emoji28][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huna jipya mtaniii...Kila lenye heri liwe kwenu horoya timu yangu ya utotoni