FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Mzee Bob Junior umetutoka ila uliowaacha wanatuwakilisha vyema...
FB_IMG_1679158759792.jpg
 
Ni kweli, ila hatuna haja ya kufikiria hizo hela maana tukiingia tu robo fainali tuna zaidi ya 1.4B. Hizo tuwaachie Yanga wapige nazo picha
Ni kweli. Hizo pesa zingeenda kujenga madarasa ingekuwa bora zaidi
 
Nilikuwa nakufuatilia kimya kimya naona namna gani uko na furaha, hiyo furaha nilikuwa nina kazi nayo baadaye..!!

Ahsante...!!
Kwa ushindi huu, bila shaka utakipata unachohitaji PP wangu.[emoji4]
 
Kama nyinyi mmeweza kuwafunga 3 kipindi Cha kwanza kwann na wao washindwe kuwafunga 4 kipindi Cha pili?
 
Back
Top Bottom