Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera aiseMpaka sasa nilikuwa sahihi kwa utabiri wangu huu
Sawa kiongozi
Wananchi 💚Wazeeke mara ngapi
Saint Anne
Af wewe
Yah mm kifurushi kiliisha nikasema leo kwa sbb tutakula nyingi siweki...kuna koment nilisema siangalii mechi..ila.wtt wakaja mama zbc wanaonesha mpira hapo tushafunga moja wee nikasema imekuwajee? Ila ndo hivyo umeisha na wakakata matangazo so ni kweli..Sema kweli
[emoji23]Sina deni ngoja pumbu zangu zipumue sasa[emoji1545][emoji1752]
Hawawezi kubali lazima watafanya fujo game ifiutweNatamani sn siku 1 tumpige Yanga hivi
MuongoooooNimechungulia vibuyu nimeona Mnyama akitamalaki nyumbani kwa ushindi mnono wa mbili bila
Ila Leo watu wamechana mikeka sanaSawa mtabiri wa kimataifa
Kama hivi?Natamani sn siku 1 tumpige Yanga hivi
Chama ndio mchezaji bora wa mechi japo natambua kazi chafu zilizofanywa na Kanoute pamoja na shujaa asiyeimbwa Mzamiru
Huyo Rajabu naye huko kwao akae mkao wa tahadhari, hii dhoruna inaweza kumkuta yeyote aliyeko mbeleni
Simba kacharuka
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji3]Sina deni ngoja pumbu zangu zipumue sasa[emoji1545][emoji1752]
Teh teh teh 😂😂😂 ukiingia kwenye 'mfumo' wa Simba umekwisha..Hata siamini kama tungefika huku,huku ni mbali sana jamani ntakufa kwa raha