FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Sawa kiongozi
seven-1181077__340.jpg
 
Moderator mnazima kitaa chekundu cha live huoni hilo ni kosa na mnafanya ionekane mechi hii ni sawa na mechi zingine?

Mnataka kufanya ionekane kipaimara cha mtoto wa mkulima, na ndoa ya Meneja wa benki kuu iwe ni kitu kimoja kwasababu zote ni sherehe?

Wakuu tuwekane sawa, kipaimara ni sherehe inayoishia kanisani na ikifika home inahudhuriwa na majirani chini ya watatu.

Ndoa ya Meneja wa Benki kuu inaanzia kanisani, inapitia HYatt ikitoka hapo inachukuliwa flight to Dubai
 
Back
Top Bottom