FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

angewapa uone impact ya iyo picha raja aliye kukanda 3 na anaye enda kukukanda 7 kwake alipoteana kwa horoya ya bila mgomo
We nawe una roho mbayaa kaaahh
Ashinde Simba we unaumia Nini kwani
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kwa Horoya hii.......hata biashara united angeshinda 9 _ 0
 


Horoya hawana shida ya pesa hio milion 100 ni ndogo sana…. Kama waliahidi kila kwa mchezaji milion 11 wakifunga simba.

So point ya kunyimwa milion 100 haina mashiko
 
Umeongea pumba mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…