OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ila soka haina adabu, yaani eti Yanga wanaumiaYanga wameumia kuliko hororya daahh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila soka haina adabu, yaani eti Yanga wanaumiaYanga wameumia kuliko hororya daahh
We nawe una roho mbayaa kaaahhangewapa uone impact ya iyo picha raja aliye kukanda 3 na anaye enda kukukanda 7 kwake alipoteana kwa horoya ya bila mgomo
Saizi dua zenu sio makundi imekuwa robo fainali?Kuna jambo linaenda kuwakuta hapo robo fainali, sidhani kama ni jambo jema!
Utabiri wa Kichoko huu. Pambana na Utopolo wenu kesho.Kuna jambo linaenda kuwakuta hapo robo fainali, sidhani kama ni jambo jema!
[emoji119][emoji119][emoji119]Kwa Horoya hii.......hata biashara united angeshinda 9 _ 0
Kumbe ramli ni uongoNimechungulia vibuyu nimeona Mnyama akitamalaki nyumbani kwa ushindi mnono wa mbili bila
Nitaanza kushabikia mpira nikilala nikiamkaWanaume wameshamaliza kazi kilichobaki ni ushakunaku wa mashosti
Sidhani kama utaamkaNitaanza kushabikia mpira nikilala nikiamka
Kwakweli mna stahili furaha..💯💯🥂🥂Muwepo muwepo mtupe kampani ya kufurahia ushindi mnono
no 3 nimesha kwambia horoya hakuja kushindana tayari wana mgomo baridi wa kunyimwa m100 waliyo haidiwa na raisi wao
raja na ubabe wake nyumbani kwake kashinda 2 kwa 1 ww una uwezo gani wa kushinda 7 (ndo nakwambia horoya alikuja kamilisha ratiba tu sio ushindani)
Umeongea pumba mkuuHoroya kwa namna wanavyocheza ilikuwa halali wapigwe nyingi, kwanza awakumuheshimu mpinzani ambaye yuko nyumbani kwake, wameingia kwenye mchezo wakafunguka kuanzia dk ya kwanza ya mchezo, na hapo hapo wakashindwa kujielewa kwamba sio wazuri ni timu ya kawaida sana ambayo nafikiri bado wanajitafuta ili kurudi kwenye ule ubora waliokuwa nao misimu miwili iliyopita ambapo waliuza wachezaji wengi sana na kuacha wengi pia, Sasa unapokutana na timu kama hii basi zitumie nafasi unazopata kiuhakika na ndicho walichofanya simba leo, kujisifu sana pia dhidi ya timu kama hii napo sio sahihi sana, unaweza ukajiona bora kumbe uliyekutana nae pia ni garasa, Ongereni jiandaeni vizuri dhidi ya wanaokuja kwenu ambao sio tena horoya bali ni timu aswaaa