Uwiiiiiiiiiiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umeyakanyaga mkuu,mwambie utampa kwa awamu.Hii simba imeniletea kesi huku na shemeji yenu/wifi yenu, tulikubaliana goli atazoshinda simba ndio hizo hizo na mimi nitampatia sasa hizi 7 mlima mrefu
Pole kwa maumivu makali mtani!!!!! Sijui unaumia ukiwa pande zipi za Bwawa la vyura?angewapa uone impact ya iyo picha raja aliye kukanda 3 na anaye enda kukukanda 7 kwake alipoteana kwa horoya ya bila mgomo
Hahahaaa. LolVipi mtani,
Tunatengeneza madirisha na milango ya Aluminium ndani ya siku 7 tu.😂😂😂😂
Karibu unyamaniHahahaa. Nmekuja Mtani.
Daah! Hongereni bana.
Doooh!!Karibu unyamani
Na leo zamu ya Taifa kubagazwa😆Hahahaaa. Hadi nimecheka. Lol.
Yaani kiukweli nimefuta na kuandika mbaya. 🤣🤣
Hahahaaa. Hongera bana Mtani.Hivi mtani Shadeeya huu uzi umeusoma mpaka mwisho kweli?
Ikiwa umebanana soma tu japo heading ila ujue Chama kashinda 3 Mzuka, Jean Baleke na Putin wana dabali kwani Horoya walikuwa na pancha kibao.
Kwa ufupi Simba wanaidai Ikulu ya Chamwino shilingi milioni 35 tu.
Maamuzi ni sasaDoooh!!
Tunajua ndo mnaombea hivyo ila haitokuwa .Na leo zamu ya Taifa kubagazwa😆
Tatizo mganga wenu anatumia kiarabu ilhali kiarabu Morocco ndo hivyo tena😆Tunajua ndo mnaombea hivyo ila haitokuwa .
Tutashinda hata kwa ushindi mwembamba kikubwa tupate Points 3 Wananchi. Teh.
Hahahaaa. Lol.Tatizo mganga wenu anatumia kiarabu ilhali kiarabu Morocco ndo hivyo tena😆
Since history!CAF uvumilivu umewashinda hawajasubiri hata kukucheView attachment 2557194
umesoma ukaelewaView attachment 2557245
Horoya hawana shida ya pesa hio milion 100 ni ndogo sana…. Kama waliahidi kila kwa mchezaji milion 11 wakifunga simba.
So point ya kunyimwa milion 100 haina mashiko
horoya alikuja kamilisha ratiba tu baada ya kunyimwa fedha zao walizo haidiwa ko hakuna cha maana wala timu yako haina uwezo wa ajabu mnao taka tuaminiMashabiki Wapumbavu wako wengi sana. Wewe hukosekani kwenye hiyo list