MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa nakufuatilia kimya kimya naona namna gani uko na furaha, hiyo furaha nilikuwa nina kazi nayo baadaye..!!
Unajitoa ufahamu sio, utapigika 12 bilaNileteeeni Mamelodi
Nileteeeeeni Mamelodi
Nileeteeeeeeeeeeeeni Mamelodi
(kwa sauti ya Jiwe)
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata siamini kama tungefika huku,huku ni mbali sana jamani ntakufa kwa raha
Tema mate chini. Watawapiga kama watakavyo wapiga Raja Casablanca kwenye mechi ya mwisho kule Morocco. Yaani watawapiga kama ngoma.Nileteeeni Mamelodi
Nileteeeeeni Mamelodi
Nileeteeeeeeeeeeeeni Mamelodi
(kwa sauti ya Jiwe)
Mimi hapa akili zimeruka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata siamini kama tungefika huku,huku ni mbali sana jamani ntakufa kwa raha
Sie kazi kazi yetu ni kukausha pesa zote kwenye ile akaunti ya mama Rais [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wk inakuwa mbaya hii
Sina deni ngoja pumbu zangu zipumue sasa[emoji1545][emoji1752]Uwiiiiiiiiiiiiiii
Namimi nawasalimia Horoya..Bantu Lady popote ulipo nakusalimia mtani 👋😀