Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi ishaisha hii baada ya hii penalty.
Nimewehukaaa hakiiiHata siamini kama tungefika huku,huku ni mbali sana jamani ntakufa kwa raha
[emoji23]huna timu ya kushnda hapo unapigwa ama draw
Right on the money [emoji3][emoji3]Kwahyo Chama anaenda kuwa mchezaji bora wa wiki wa CAF kwa mara pili mfululizo...ok sawaView attachment 2556782
Usiishi kwa kukaririTema mate chini. Watawapiga kama watakavyo wapiga Raja Casablanca kwenye mechi ya mwisho kule Morocco. Yaani watawapiga kama ngoma.
Thank you. Ajabu benchi la ufundi wanashangaa. Na bahati mbaya hata Kanuti leo simuelewi elewi.Mzamiru ameshatoka mchezoni, kapanick na kuda wowote anaweza kuokota njano nyingine ikawa OUT.
HahahahaaFriends of Horoya saaa hiiView attachment 2556777