cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan leo natukana watu km cna akili nzuri vileeee. Sio kwa furaha hii.Komesha komesheaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan leo natukana watu km cna akili nzuri vileeee. Sio kwa furaha hii.Komesha komesheaaaa
Au agawanye kwa leo na keshoPiga pushapu upate pumzi
Rubbishno 3 nimesha kwambia horoya hakuja kushindana tayari wana mgomo baridi wa kunyimwa m100 waliyo haidiwa na raisi wao
raja na ubabe wake nyumbani kwake kashinda 2 kwa 1 ww una uwezo gani wa kushinda 7 (ndo nakwambia horoya alikuja kamilisha ratiba tu sio ushindani)
Acha roho mbaya, kwenye goli la Simba walikuwa wanatafuta nini kama wana mgomo?, Au hujaona shots za horoya kuelekea lango la Simba?wazee horoya ana mgomo baada ya bosi wao kuwageuka kuwapa m100 kila wakipata goli kama alivyo ahidi ko wamekuja kamilisha ratiba kwa tunao fahamu hakuna jipya
Ni kosa kubwa sana kufananisha rungu na SMG eti kwasababu zote ni silahaNa bado wanataka kumfananisha na yule aziz ufunguo
Hapa vibuyu vilikumislead bro😆Nimechungulia vibuyu nimeona Mnyama akitamalaki nyumbani kwa ushindi mnono wa mbili bila
Muwepo muwepo mtupe kampani ya kufurahia ushindi mnonoTupoooo .... Wala hatuyeyiii 😅😅🤣
Yah asije fia hapo 😆 😆 😆Au agawanye kwa leo na kesho
unaelewa mgomo baridi unavyo kuwaAcha roho mbaya, kwenye goli la Simba walikuwa wanatafuta nini kama wana mgomo?, Au hujaona shots za horoya kuelekea lango la Simba?
KIFUPI: horoya walizidiwa au siku haikuwa Yao. Na isitoshe walifanya mazoezi makali kukabiliana na Simba( Kama, walikuwa na nia hiyo wasingefanya mazoezi, hivyo hoja yako haina ukweli wowote).
06555Jamaniii atakaye weka namba hapa namrushia buku tano fasta niko kwa wakala
Hela ya 100M ni picha ya samaki wala haina msaada kipindi una njaamzee inafahamika horoya hawana cha kupoteza baada ya raisi wao kuwazingua ahadi ya kuwapa fedha zao m100
nashangaa mnacho changilia
🏃🏃🏃Yah asije fia hapo 😆 😆 😆
Utani wa ngumi kabisa huu[emoji23]Leo wadau wa kiumeni wa simba
Watawachoresha sana 7 michepuko yao ya Yanga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
angewapa uone impact ya iyo picha raja aliye kukanda 3 na anaye enda kukukanda 7 kwake alipoteana kwa horoya ya bila mgomoHela ya 100M ni picha ya samaki wala haina msaada kipindi una njaa
Nilshatia maguu pm kuisubiri offer yaan😋Nina offer wakuu😍😍
Kakupiga hamna kituNimekuwekea mkuu jina la wakala Ibrahim Mussa😍🙏🏽
Nikupe no urushe?Jamaniii atakaye weka namba hapa namrushia buku tano fasta niko kwa wakala
Aaah!...nilijua kweli kumbe utani tu..Jamaniii atakaye weka namba hapa namrushia buku tano fasta niko kwa wakala