kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
EgyptFuture wa nchi gani hawa
Misri. Ligi yao walimaliza nyuma ya Al Ahly, Pyramids pamoja na Zamalek.Future wa nchi gani hawa
Ahsante hapo Singida ana kibarua kule MisriMisri. Ligi yao walimaliza nyuma ya Al Ahly, Pyramids pamoja na Zamalek.
Yes ila atatoboa, kwa sasa hivi vilabu vyetu vipo imara sana. Timu nyingi Afrika zinaogopa kucheza na timu za Tanzania. Hatuna uoga wa kucheza ugenini kama zamani si umeona Yanga na Simba walivyo na uwezo wa kupata matokeo popote pale.Ahsante hapo singida ana kibarua kule misri
Singida hawa hawa walioponea chupu chupu kutolewa na JKU ya Zanzibar?Yes ila atatoboa, kwa sasa hivi vilabu vyetu vipo imara sana. Timu nyingi Afrika zinaogopa kucheza na timu za Tanzania. Hatuna uoga wa kucheza ugenini kama zamani si umeona Yanga na Simba walivyo na uwezo wa kupata matokeo popote pale.
Bora umeuliza mkuuSingida hawa hawa walioponea chupu chupu kutolewa na JKU ya Zanzibar?
Shirikisho hamna kitu, Ndio Yanga walidondokea huko wakawa wanawaonea vilaza akina Marumo wakajiona wanawezaaaaKwa Jinsi ilivyo huku Shirikisho.... Timu za Simba au Yanga kudondokea huku ilikuwa ni Kuzionea timu hasa zilizokuwa zinapamba huku tokea mwanzo..!
Hamja wahi kucheza shirikisho? mlifika wapi?Shirikisho hamna kitu, Ndio Yanga walidondokea huko wakawa wanawaonea vilaza akina Marumo wakajiona wanawezaaaa
Mara hii ataona aibu...πHapa bongo katuabisha yule mpumbavu mmoja Azam Fc, nilitamani sana kuona tukiingiza timu 4 makundi michuano ya CAF (Confederation & Champions league).
Tulijitoa kimkakati, hayakuwa mashindano ya hadhi yetu...Ni kama Madrid iangukie Europa league, inajitoa kimkakati tu maana ni aibu kwao kucheza mashindano ya aina hiyoHamja wahi kucheza shirikisho? mlifika wapi?
Simba alikuwa anaonea vipi wakati hakuwa anavuka robo fainali?Kwa Jinsi ilivyo huku Shirikisho.... Timu za Simba au Yanga kudondokea huku ilikuwa ni Kuzionea timu hasa zilizokuwa zinapamba huku tokea mwanzo..!
Mkakati wa wapi, mliwasha hadi moto uwanjani lakini wapi.ππTulijitoa kimkakati, hayakuwa mashindano ya hadhi yetu...Ni kama Madrid iangukie Europa league, inajitoa kimkakati tu maana ni aibu kwao kucheza mashindano ya aina hiyo