FT: Singida Fountain Gate 2 VS 1 AS Vita Club, Agosti 2, 2023

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
SINGIDA BIG DAY

Hii Singida itashika nafasi ya pili au tatu Wana usajili mzuri sana wa wachezaji wazoefu.
 
Hawa jamaa Kwa freekick niwazur, kama warabub tu.
 
Simbaya sasa singida wanajipata na kuonyesha uwezo wao.
 
Kakolanya anapigwa kikumbo kikali, anadondoka chini na sasa madaktar wanamuinua .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…