Extroverted Introvert
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 599
- 1,565
Wala hii mechi haikuwa na maajabu yoyote kwa 'ubora' wenu tulitegemea hao mjipigie kuanzia tatu, tunashangaa tu imekuwaje mmeishia moja mpaka tumekuwa speechless, sasa kwa CR Belouizdad na Al Ahly itakuwaje kama hawa ndio hivi
huyu mjinga ni mdaka nzige walahππ€£π€£π€£π€£π€£πππ
View attachment 2851108
Baada ya kucheza na Wydad, mmepata alama 1 kwa KMC,, Yanga kapata alama 3.. Vipi unajitetea vipi hapo mtaniSi unaona akili zenu mashabiki wa utopolo kwani Sisi mechi yetu na Wydad tulicheza mwezi uliopita au, kwani ninyi ndio mara yenu ya kwanza kuchezea kwenye hicho kiwanja na je Tabora ndio wenyeji wa huo uwanja, kwani siku zote timu ikicheza Dar ndio ina uhakika wa kushinda kirahisi tu
Wewe ndio una tatizo la kufikiria. Simba ilicheza na Wydad tarehe 19 huku Yanga ikicheza na Medeama Tarehe 20. Yanga imepumzika siku moja tu yaani tarehe 21 kisha tarehe 22 wamesafiri kwenda Dodoma. Jiulize wamepumzika kwa siku ngapi? Je mazoezi kujiandaa na hii mechi walifanya kwa muda gani?Si unaona akili zenu mashabiki wa utopolo kwani Sisi mechi yetu na Wydad tulicheza mwezi uliopita au, kwani ninyi ndio mara yenu ya kwanza kuchezea kwenye hicho kiwanja na je Tabora ndio wenyeji wa huo uwanja, kwani siku zote timu ikicheza Dar ndio ina uhakika wa kushinda kirahisi tu
πππ€£πhuyu mjinga ni mdaka nzige walah
Ukala 5Nakukumbusha tu kuwa KMC ni ya Nne kwenye msimamo wa ligi, wakati Tabora ni ya kumi na mbili na sijui hata kama imeshawahi kushika hiyo nafasi au juu zaidi hapo kabla, kama mnajitapa kwa kuifunga KMC hata sisi mbona tuliifunga Ihefu ambayo inafungwa na karibia kila Timu
KMC ni mgumu kwako ila Yanga kamchapa goli tano hao.Sasa Kweli unafananisha KMC na Tabora Mjomba
Usisahau alikula [emoji2772] kama weweSasa Kweli unafananisha KMC na Tabora Mjomba
Wakati unakula kiganja ulikua wa ngapi kwenye ligiNi wa nne kwenye msimamo wa ligi, Tabora ni wa kumi na mbili na sijui hata kama alishawahi kushika hiyo nafasi au juu ya hapo, cha ajabu mkaishia kumfunga Moja tu
Tabora ni wazuri kuliko MBUMBUMBULazima tushangae mkuu vibonde kama hawa mnawafungaje kamoja tu
Na wewe wakati unafungwa na ihefu ulikuwa wa ngapi kwenye ligiWakati unakula kiganja ulikua wa ngapi kwenye ligi
Kama tu ihefu walivo wazuri kuliko yanga au siyoTabora ni wazuri kuliko MBUMBUMBU