Hahahaaa. LolHahahaaa, zawadi nyingine tena inakuja usijali
Acha bangiGoallllllllllllgoalllllllllllllgoalllllllllllgoalllllllllllllgoallllllllllllllll
Sio bangi hapa kwangu nerwork iko slow sana, saa hizi eti ndio goli linaingiaAcha bangi
Nimeliona mdogo wangu.
Zawadi kutoka kwa mshika kibendera. Teh teh.
🤣🤣🤣🤣
Ama kweli kipato uleta majivuno. 😅😅Nyie hata la offside mlifunga?
Umeiona hiyo zawadi ya 3 [emoji23][emoji23]Nimeliona mdogo wangu.
Zawadi kutoka kwa mshika kibendera. Teh teh.
Acha bangi
Sio bangi hapa kwangu nerwork iko slow sana, saa hizi eti ndio goli linaingia
Kumbe nililiona mapemaGoooooool vipi hapo kakataa refa
Kenndy kamgusa kidogoHuyu refa vipi kwani?
Alifeli mithihani ya cuf nasikia,,,Refa muhuni
Kagoma kuwapa goli la mchongoHuyu refa vipi kwani?
NakaziaAlifeli mithihani ya cuf nasikia,,,