Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ngoja mkutane na Fngonga wa DRC.Kwani huko ulipo kuna tetemeko
Utopolo 🐸 🐸 🐸 komaeni...
Muache kocha afanye kazi yake...Hichi kikosi why lakini?? Kovha ana nini na Musonda? Kikosi kimejaa viungo watupu hakuna foward, dah 😥 Mungu tusaidie
Uwepo hadi mwishoNgoja mkutane na Fngonga wa DRC.
Sisi tunatembeza kipigo tuJiandae kisaikolojia kesho mbumbumbu
Mazembe pigeni hayo mateja kama ngoma
SawaSisi tunatembeza kipigo tu
Shida ni nini kwanini iwe hivyo Congo?Ikichezewaga Congo ndo inavyokuwaga otherwise wapo vizuri.
Yanga na leo anafilimbwa?Jiandae kisaikolojia kesho mbumbumbu
Kawatafute vyura mabondeni hukoChura lolote baya liwakute
Usishangae Utopolo 🐸 🐸 🐸 wakishinda ........Hongereni Utopolo kwa kutofungwa hadi sasa dk ya 16