Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hapana mkuu, wanazigombania halafu kwa Yanga imekaa vibaya zaidi maana yeye ndo mwenye point chache. Ana kapoit kamoja tu. Yaani anatia aibu nchi ila akishinda mechi zake zilizobaki anapita.Kumbe ni kugombania et sasa mbn mna mmilikisha zote yanga