Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Я вижу, 1-1 очень плохоНет, на самом деле
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Я вижу, 1-1 очень плохоНет, на самом деле
𝗦𝗮𝘄𝗮[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2] akiba ya nini..mavi?
Tuponzwe na pointi 1? Mamaeh..kwisha habar yenu nyie ..eti kamdomo..mmeshangilia goli kama mnataka kufa maamaeh..
𝗡𝗼 𝗰𝗼𝗺𝗺𝗲𝗻𝘁Sasa mna lolote mmepata?
𝗦𝗮𝘄𝗮Kwa Mazembe tuna pointi zetu 6
Hapana kwa Mazembe marudiano tuna pointi 2
𝗪𝗲𝘄𝗲 𝘄𝗮𝘀𝗲𝗺𝗮Sasa Sare tena ya kurudisha bao, furaha unapata wapi?
Unajikaza tyuuh, poleeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kuwa wengine watakuwa wamesimamaAshinde mechi zake zote baasi. Point 9, anapita.
Huyu Mazembe unga unga last season kafika semi final nyie mlifika wapi?Unamzungumzia Mazembe yupi? Huyu ungaunga au Mazembe yule wa ubora wake? Mazembe huyu wa sasa hata kwa Tabora anakufa nyingi tu.
Jermani mashine. Kufa na tai shingoni ndio hukoKocha wa Yanga huyu mie simuelewi kocha anakula suti utafikiri Mnyasa au mwalimu wa kwaya wa kanisa la kisabato..
Tunawasapoti sana kwenye kombe lenu la akina mama, na mkimaliza huko mshiriki mashindano ya big mamas, huko kombe ni uhakika.Eti Caf unatuletea Beki Kibabage mwili kama Mwanafunzi wa Kidato cha kwanza,
Aucho umri mkubwa utepe wa mguuni wote umekauka anajifanya kijana anasuka suka ili aendelee kupiga hela za Gabachori,
Musonda anacheza kama ndani ya soksi kuna Siafu,
Wapuuzi nyie Timu hamna January mnakamilisha ratiba ili mludi Ligi kuu mtusapport waume zenu Simba kuelekea Ubingwa wetu.
Akipata point 9 inamaana wengine wamezipoteza point. Hesabu rahisi ndo hiyo. Yeye ana point 1 sababu kapoteza point 8. Sasa zimebaki 9 za kugombania.Kwa kuwa wengine watakuwa wamesimama
😀😀😀Huyu mtangazaji wa bein sports 3 amesema Mzize ana umri wa miaka 20
Sikujua kama Yanga walikuwa serious kiasi wafikie hatua ya kuwapotosha hadi wazungu.
😄😄Mzize amesoma na mdogo wangu mwenye miaka 29 sasa. Yeye umri wake unaenda unapungua!
😀😀😀Refa maliza Mpira wengine tunakaa Kisemvule😂
Kumbe ni kugombania et sasa mbn mna mmilikisha zote yangaAkipata point 9 inamaana wengine wamezipoteza point. Hesabu rahisi ndo hiyo. Yeye ana point 1 sababu kapoteza point 8. Sasa zimebaki 9 za kugombania.