FT:TP Mazembe 1-1 Young Africans SC | CAF CL |Stade TP Mazembe | 14.12.2024

FT:TP Mazembe 1-1 Young Africans SC | CAF CL |Stade TP Mazembe | 14.12.2024

Mhh Mazembe hawa msimu uliopita walicheza nusu fainali ya CAF Championship. Kocha alikuwa sawa kuanza kwa tahadhari, hivi uliwaona na Al Hilal mechi ya juzi? Walipigwa ila walicheza mpira mwingi sana tena wa kasi, sema ndio hivyo Al Hilal mpira wao hauna vitu vingi, wanakupiga baadae wanaweka basi.
Kwahiyo mkuu una imani na huyu kocha? Maana mimi nimeangalia wapinzani wetu wote watatu sijaona mpinzani anayetisha wote ni wa kawaida tu ila shida ni uzembe wa Yanga wenyewe ulinzi ovyo, kumalizia ovyo.
 
Kocha angeanza na Mzize na Dibe tangu kipindi cha kwanza tungeshinda hii game. Mara mia kuwa na washambuliaji butu kuliko viungo na wakinbiaji kama musonda
Shida ya Mzize ukimuanzisha kipindi cha kwanza huwa anakera sana maamuzi yake yanakuwa ya ovyo ila muweke kipindi cha pili utampenda anavyowasumbua wapinzani.
 
Kocha angeanza na Mzize na Dibe tangu kipindi cha kwanza tungeshinda hii game. Mara mia kuwa na washambuliaji butu kuliko viungo na wakinbiaji kama musonda
Si utume maombi uwe kocha?Una Diploma A au Pro? Side anahitaji msaada.Punguzeni ngebe mna timu imechoka.Ni sawa na kufundisha fisi kupanda mti.Leo ilikuwa Bakari Ali na Beka Ali.Pipa na mfuniko.
 
Kwahiyo mkuu una imani na huyu kocha? Maana mimi nimeangalia wapinzani wetu wote watatu sijaona mpinzani anayetisha wote ni wa kawaida tu ila shida ni uzembe wa Yanga wenyewe ulinzi ovyo, kumalizia ovyo.
Hata kama hauna imani nae ila ndiye aliye kuwepo ni mgeni na ngumu kukupa matokeo ndani ya kipindi kifupi. Yanga walipo kosea kumuondoa Gamondi basi hii mistake itaicost Yanga kwa mda fulani kabla ya kukaa sawa.Ila kwa plan aliyo anza nayo alikuwa sahihi, ila akaja jilipua kipindi cha pili.
 
Hii ni picha ya mzize kweli?
1000205153.jpg
 
Na wewe tuliza kijambio kilichojaa moshi wa shisha wa aziz ki mobeto..
Shisha Bangi Dunga Mihadarati SC , nyinyi mna uwezo wa kuvuta cocaine tu na kujidunga sindano na kushinda bar mnavuta shisha ndicho mnachoweza sio mpira mbwa nyie [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Naona tundu linakuwasha kinoma.
 
Kama uongozi wa Yanga upo serious waangalie namna ya kuzicheza hizi mechi mbili zinazofuata huyu kocha naona kama pambo tu hana uwezo wowote ule hasa kwenye kupanga kikosi na mbinu. Yanga ina fixture nzuri sana aisee kama wanapiga hesabu vizuri wanaweza kufuzu
Kwa yule sioni Yanga ikifanya la maana. Hivi wana uhakika ni kocha wa football?
 
Back
Top Bottom