Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #721
😀😃😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wao baadae wanatoa sareMC Alger na Al Hilal walikuwa wanaombea matokeo haya ya sare ili TP Mazembe asiwape presha
Tutawazibua vibaya mno!!Nyie niwakumbushe tuu Tp hawatataka muwafunge tena kwa Mkapa ni either mdraw...
Afungwe MC AlgiersNa wao baadae wanatoa sare
Nyuma mwiko siku ya draw ya makundi eti walishangilia. Sasa walikuwa wanashangilia Nini?Tp ya benjamin mkapa itakua ile tp ya alhilal...ila ni kama imeshajichokea..
Uto Walisema wanakusanya point 6 ndani nje kwa tp ila wameambulia 1...
Kwa mkapa mtaambulia moja tena...
Pole dada 🤣🤣Sasa mna lolote mmepata?
Jinsi unavyotuchukia Mungu anakuonaTp ya benjamin mkapa itakua ile tp ya alhilal...ila ni kama imeshajichokea..
Uto Walisema wanakusanya point 6 ndani nje kwa tp ila wameambulia 1...
Kwa mkapa mtaambulia moja tena...
Hao wa shirikisho wafuate nini huku kwa wakubwa??Mbona mazembe wazembe tu ...
Mfano Yanga Golini wangekua na Camara, beki ya kushoto Zimbwe na kulia Kapombe.
Pale mbele angesimaa Areba.
Mazembe Wangekufa 3+
Kwa Mazembe tuna pointi zetu 6Kuna watu Kamdomo kamewaponza, jifunzeni kuweka Akiba
Kachimba hawezi kurudiTunaomba msimamo wa kundi
YametimiaTunasawazisha msihofu
Mhh Mazembe hawa msimu uliopita walicheza nusu fainali ya CAF Championship. Kocha alikuwa sawa kuanza kwa tahadhari, hivi uliwaona na Al Hilal mechi ya juzi? Walipigwa ila walicheza mpira mwingi sana tena wa kasi, sema ndio hivyo Al Hilal mpira wao hauna vitu vingi, wanakupiga baadae wanaweka basi.Hii mechi sio ya Yanga kutoa sare kocha kaikosea sana kipindi cha kwanza katika upangaji wa kikosi ukizingatia na Tp Mazembe imeshajichokea
HaiwezekaniAfungwe MC Algiers
Naunga mkono hojaKocha angeanza na Mzize na Dibe tangu kipindi cha kwanza tungeshinda hii game. Mara mia kuwa na washambuliaji butu kuliko viungo na wakinbiaji kama musonda