FT:TP Mazembe 1-1 Young Africans SC | CAF CL |Stade TP Mazembe | 14.12.2024

FT:TP Mazembe 1-1 Young Africans SC | CAF CL |Stade TP Mazembe | 14.12.2024

Manyani kuna kocha aliyewaita.Luc Eymael alipoachana na Utopolo alisema Utopolo ni manyani kazi yao kubweka.
 
Hawa vibonde wamenivurugia wikiendi na hiyo chupuchupu ya droo..
Nilisha hesabu kwishneiiiii....
 
Eti Caf unatuletea Beki Kibabage mwili kama Mwanafunzi wa Kidato cha kwanza,

Aucho umri mkubwa utepe wa mguuni wote umekauka anajifanya kijana anasuka suka ili aendelee kupiga hela za Gabachori,

Musonda anacheza kama ndani ya soksi kuna Siafu,

Wapuuzi nyie Timu hamna January mnakamilisha ratiba ili mludi Ligi kuu mtusapport waume zenu Simba kuelekea Ubingwa wetu.
Tunawasapoti sana kwenye kombe lenu la akina mama, na mkimaliza huko mshiriki mashindano ya big mamas, huko kombe ni uhakika.
 
Back
Top Bottom