We umeona goli?FT
TP MAZEMBE 1 YANGA 1
Cocastic wacha ubaya huoRefa maliza mpira, mashabiki wanakaa mbaliii.
Lucas hatoshei?Angekua mpenzi wangu Dube tungekua pazuri
..nyota njema huonekana asubuhiSafar Inaanzia appo hao wengine watakula nyingi sana Kwamkapa
Ndio mkuuWe umeona goli?
Usiku ni kumuombea Al Hilal ashindeAfadhali, ngoja tusubiri wa usiku watupe mwelekeo wa kundi
Nyumbani tunawafunga hawaIla tunatoka😣
Kwanini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cocastic wacha ubaya huo