FT: TZ Prisons FC 1-2 Yanga SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 11.02.2024

Mkuu kuna namna sisi wana Yanga tunaikosea timu yetu, kusifia tu kunawafanya wachezaji wetu wabweteke, kuna wakati inabidi tuwakosoe ili kuwatia hasira zaidi ya kupambana. Kwaio jamaa hakufanya jambo baya kuwaponda lengo lake nadhani lilikuwa jema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…