FT: Ubaya Ubwela: Simba SC 3-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024

FT: Ubaya Ubwela: Simba SC 3-0 Tabora Utd/KMC Complex-18/8/2024

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
IMG-20240818-WA0011.jpg

89ff54df5f444657a263c07ef6743efe.jpg

Ni jioni ya leo saa 10:15 pale KMC Complex. Ubaya Ubwela
 
Naangalia hapa mechi ya KEN GOLD SPORT vs SINGIDA BIG STARS

yaan TIMU ZOTE HAZINA UWEZO WA KUPIGA PASI 5 MFULULIZO

YAAN butua butua nyingi sanaa yaan kwa mtindo huu TIMU ZA KUTOA UPINZANI NA CHANGAMOTO HAZIFIKI 6 KWAKWELI
Singida squad nzima ni wageni isipokiwa kipa. Tulipofikia panafikirisha sana
 
Singida squad nzima ni wageni isipokiwa kipa. Tulipofikia panafikirisha sana
Japo SINGIDA wanaongoza kwa goli mbili kwa moja ken Gold Ila wachezaji wazito timu zote mbili

Utafikili ni MECHI za UMISETA ama UMITASHUMTA enzi zile

Wanakimbia kimbia Tena bila formation yaan ni MPIRA WA PAPALU PAPALU

Timu za kutoa changamoto hazizidi timu 6
 
Hivi huyu kocha wa simba huwa anapangiwa kikosi au ni jeuli tu, hivi inakuwaje kocha kila siku anawakumbatia kina mzamiru na kapombe licha ya kuwa wameonyesha uwezo mdogo na kuwaacha wachezaji wazuri kwenye benchi kama okejepha, kagoma na kijili
 
Hivi huyu kocha wa simba huwa anapangiwa kikosi au ni jeuli tu, hivi inakuwaje kocha kila siku anawakumbatia kina mzamiru na kapombe licha ya kuwa wameonyesha uwezo mdogo na kuwaacha wachezaji wazuri kwenye benchi kama okejepha, kagoma na kijili
Mechi nyepesi hii tulia
 
Hivi huyu kocha wa simba huwa anapangiwa kikosi au ni jeuli tu, hivi inakuwaje kocha kila siku anawakumbatia kina mzamiru na kapombe licha ya kuwa wameonyesha uwezo mdogo na kuwaacha wachezaji wazuri kwenye benchi kama okejepha, kagoma na kijili
Hiki kitu hata mimi kimenishangaza sana. Kinasikitisha pia
 
Back
Top Bottom