FT: Uwanja wa Mkapa: Yanga 0-2 Vipers, Mwananchi Day (Agosti 6, 2022)

Sisi tulichukulia poa mechi jamaa waka kaza ,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmekojolewa viwili huko, vipi umeshatawaza?? Au bado unasikilizia zikitekenya tekenya??


Byuti byuti.
 
Summarize hatutaki maelezo mengi
 
Simba alivyofungwa pre season mlianza kuimba taarab leo na nyinyi mmefungwa mnasema lilikuwa bonanza yanga bwana akili zao.
 
Farid Mussa hauja muona?
 
DIARRA
2. DJUMA
3. LOMALISA
4. BANGALA
5. MWAMNYETO
6. BIGIRIMANA
7. KI AZIZ
8. AUCHO
9. MAYELE
10. FEISAL
11. MORRISON
Kwa hiyo hii ndo Yanga!?? Wafanyabiashara watatuulia hivi vilabu aisee!!!
 
Huoni kimataifa kila siku mnaumbuka bingwa hata msimu mmoja hamfanyi vizuri kimataifa shida ipo wapi kama kweli nyie mabingwa huko hakuna kuhonga marefa wala timu makelele kIbao timu kila siku kimataifa mnafungwa
 
Viongozi wa simba wamefurahi sana maana mashabiki wao wamepata kingine cha kujadili hivyo wataacha kuwasumbua kuhusu jezi.
Zinazinduliwa leo saa 5. Upooo nyonyoo??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byuti byuti
 
Kipa wenu ni mfupi
Kocha wake anatakiwa kumpa mazoezi maalum bila shaka! Ukiondoa kimo chake, bado ana madhaifu ya kufungwa magoli ya aina ile ile.

Kwenye mechi ya fainali dhidi ya Coastal Union, Sopu alimfunga goli la aina hii baada ya kupiga kichwa kugongesha chini! Na ulikuwa ni upande ule ule!

Ni aibu kwa golikipa wa kimataifa kufungwa goli la kona ya moja kwa moja kama ilivyotokea kwa Ali Mustafa 'Bartez' enzi zile. Natamani kuona Abutwalib Mshery akiaminiwa zaidi. Maana siyo golikipa mwenye makosa mengi uwanjani ukilinganisha na huyu Diarra.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaah!!!! Mdaka mishale
Leo anaombwa awe bench, ampishe Mshery.

Byuti byuti.
 
Hii ni mechi ambayo haina presha na upo nyumbani ukisherekea siku yako.
 
Hii lugha hii! Dah!! Kwa sababu ni wewe, basi itanilazimu tu kugugumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…