FT: Uwanja wa Mkapa: Yanga 0-2 Vipers, Mwananchi Day (Agosti 6, 2022)

Kama Mambo ni Magumu ....Watuingizie Aziza Na Joyce .... BYUTI BYUTI .
 
Makambo anapoteza nafasi ya wazi kuiandikia Yanga goli la kusawazisha baada ya mpira kugonga nguzo ya goli
 
Manara aondoke Yanga. Anatutia gundu.
 
Hawa vipers kwa viji counter attack ni tishio
 
Kujinyea f.c. washaukalia mwiko.hawa ndo wakubeba ubingwa wa caf msimu huu[emoji22][emoji22]
 
Mayele,Morrison,waingie hapo,wenye nchi tuteteme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…