FT: Uwanja wa Mkapa: Yanga 0-2 Vipers, Mwananchi Day (Agosti 6, 2022)

Mpaka kufikia dakika ya 90 hapa tunakuwa tumeshinda, lile ni kosa dogo tu walifanya.
 
Mwanaume wa kweli ni yule anayepiga bao ndan ya sekunde
 
Yanga wamefanya mabadiliko wameingia Ki Aziz, Mayele, Lomalisa
 
Ki Aziz anapiga faulo inaishia mikononi mwa golikipa mwa Vipers
 
Dalili ya mvua ni mawingu. Tutegemee wananchi kuangukia pua mechi ya kwanza tu ya michuano ya awali ya CAF Champions league!
 
Dakik 55 bado Vipers wako mbele Kwa BAO moja Yanga hawajapata kitu
 
Kitimu chenyewe Vipers hakipo kabisa kwenye ramani ya kandanda hapa Afrika!! Lakini ni mlima mrefu kwa wananchi!!
 
Kitimu chenyewe Vipers hakipo kabisa kwenye ramani ya kandanda hapa Afrika!! Lakini ni mlima mrefu kwa uto!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜€πŸ™ƒ
Team Yenyewe Ni Kama Mbu Inamwaga Malaria Kali Kwa Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…