[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mechi za Kimataifa kuna watu watatia sana aibu
Kweli mkuu aibu italipata taifaMechi za Kimataifa kuna watu watatia sana aibu
Dah!Miko miwili nyuma?Watashindwa kutembea na kuvimba!Nyuma mwiko wa pili😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mapema mno kuhitimisha hivyo....tungoje angalau mechi 5 za ligi.Azizi K alipewa promo Sana, zero
Mapema mno kuhitimisha hivyo....tungoje angalau mechi 5 za ligi.
acha upumbavu wewe, lengo la mwaka huu ni kufika fainali champions leagueYanga kimataifa bado sana
Ila kwa timu za nyumbani sioni wa kuwazuia
Kwa timu ipi?acha upumbavu wewe, lengo la mwaka huu ni kufika fainali champions league
Muulize JoyceOffside gani hii.