Waidad 3-0 Simba. Mo ajitayarishe kufukuza tenaLeo tarehe 09/12/2023 saa 4:00 usiku timu ya Simba kutokea Tanzania itakuwa na kibarua ugenini kucheza dhidi ya Wydad AC ya Morocco Jijini Marrakech.
Hii itakuwa mechi ya tatu hatua ya makundi CAFCL. Katika kundi B Wydad AC ndiyo timu pekee ambayo haina pointi hadi sasa baada ya kufungwa mechi mbili za awali.
Je, wawakilishi hawa wa Tanzania watatoboa?
Baki nami katika uzi huu upate yatakayojiri Kabla na wakati wa mchezo huo
Kesho gani mkuu?? Ni leoVimba mnyamaaa vimba kesho tutusue
Simba sio mbumbumbu, take it from Me.Leo tarehe 09/12/2023 saa 4:00 usiku timu ya Simba kutokea Tanzania itakuwa na kibarua ugenini kucheza dhidi ya Wydad AC ya Morocco Jijini Marrakech.
Hii itakuwa mechi ya tatu hatua ya makundi CAFCL. Katika kundi B Wydad AC ndiyo timu pekee ambayo haina pointi hadi sasa baada ya kufungwa mechi mbili za awali.
Je, wawakilishi hawa wa Tanzania watatoboa?
Baki nami katika uzi huu upate yatakayojiri Kabla na wakati wa mchezo huo
Leo mnyama anaunguruma kama kawaida. Kama Wydad walikubali kichapo kutoka kwa Galaxy, Simba hatushindwi. Tunamnyoosha mwarabu huko huko kwao ili liwe fundisho kwa Yanga.Leo tarehe 09/12/2023 saa 4:00 usiku timu ya Simba kutokea Tanzania itakuwa na kibarua ugenini kucheza dhidi ya Wydad AC ya Morocco Jijini Marrakech.
Hii itakuwa mechi ya tatu hatua ya makundi CAFCL. Katika kundi B Wydad AC ndiyo timu pekee ambayo haina pointi hadi sasa baada ya kufungwa mechi mbili za awali.
Je, wawakilishi hawa wa Tanzania watatoboa?
Baki nami katika uzi huu upate yatakayojiri Kabla na wakati wa mchezo huo