ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Score board itaongea tuliza boliMchezo wa kibingwa huu, sio zile papatupapatu za jana.
UshindiLeo tunahijati ushindi au Draw
Wanacheza na Mnyama mkali na hatari lazima waonekane wanyonge.Hawa Wydad wana matatizo gani mbona kiwango kimeshuka ghafla baada ya michuano ya AFL?
Tunapambania hatma yetu.Leo Ball Tunapigaaa
Ila..Leo Ball Tunapigaaa
Hakuna goli mtafunga nyie..Yanga mnaanza tartiiibu Kupotea humu..!