Nakusalimia mdogo wangu,Tunapambania hatma yetu.
Ni mbinafsi sana huyo jamaa, mara zote yeye anatanguliza sifa zake badala ya team husika.Sijui Kwanini Baleke Huwa Anaanza Mbele ya Phiri, Ni Mchoyooooooooo
Ndio kina naniMakolo waandamizi bado hayajatokea..
Aaah!....Pipa na mfuniko
Bado hujasemaPipa na mfuniko
Oooh!...Wamepata penati
Nipo hapa kwa ajili ya kazi moja tu, muombeni sana malaika wenu wa zamu...Marahaba.....ππ
Karibu jamvini
Baleke pale mbele hapatendei haki.
Mbona yanga hawasemag hivo?Hii timu Ni Aibu Tupu