Tuliza munkariSasa mistriker yenu mipumbavu...haifungii
Hakuna mtu humoo..Kibu D, Kibu Dee Mkandaji π€£π€£π€£
KawasaidieHawa wydad ni magarasa aisee
Bahati yenu, ila yatawakuta ya Jwaneng leoWooooooooow!!....
Mshaanza....! Na badoHawa wydad ni magarasa aisee
Huyo sio pazia, basi tu ubaguzi wa rangi ulitutawala. Ni kosa gani alilowahi kufanya ambalo Manula (anaeaminika) au makipa wengine hawafanyi.?Ayubu kumbe sio pazia.
Sio IhefuWaydad ya mwaka huu Kama mbeya city tu
Mazoea mabaya ya mashabiki kukariri majina.Huyo sio pazia, basi tu ubaguzi wa rangi ulitutawala. Ni kosa gani alilowahi kufanya ambalo Manula (anaeaminika) au makipa wengine hawafanyi.?
Huu mpira nimeukosa, nipo safarini.
Ingekuwa ni Diarra hapo.... π πAngekuwa air manula hapa....
Apigwe banMod shabiki wa Yanga aliandika Wydad 1π