FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

Hivi kocha wa mastriker pale Simba Huwa anafundisha Nini hasa? Hivi anawajua hata wachezaji wake kweli?

Mtu kama K.Denis anarudi kukaba hili iweje wakati hata kukaba penyewe hajui?

Nafikiri Kibu denis ndio mshambuliaji anaeongoza kwa kucheza faulo nyingi kwenye Ligi nzima ya NBC
 
Back
Top Bottom