Kwa Ayoub hata Manula anakalia mbao vizuri tu, na kwa style hii kuja arudi uwanjani atakuta Ayoub ameshaanika kwa kocha mpaka mashabiki, nadhani atakuwa kipa namba mbili ama aende Azam Fc wenye shida ya makipa kama hatakuwa mvumilivu.Kesha wakata vidomo domo ππ
Acha bangiLeo anakufa kwa mkapa?
Niwaambie waje mcheze naoHawa ni wapemba Kikwajuni..
Huko kwenye group la Yanga Sc kuna team ngapi za waarabu?Hawa warabu, wangekutana na Yanga, wangekunywa goli nyingi.
kwani CR BOULZDAD sio waarabu?Hawa warabu, wangekutana na Yanga, wangekunywa goli nyingi.
Ndio akili yako ilipowaza. Hii timu kabla ya kucheza leo kashinda mechi moja tu ya juzi ya ligi. Ila zote kafungwa, wewe unaleta unazi wako hapa. Hujui kama hao Wydad wamefungwa hadi na Galaxy?Wanacheza na Mnyama mkali na hatari lazima waonekane wanyonge.
Wamekutana pipa na mfuniko.Mnaonaje mechi ya leo?
HakikaWizi uliofanyika kumsajili huyu mwamba ni wa kinaijeria.
Itarudiwa utaona wamekosaje [emoji4]Haya majinga yamekosaje penalty
Ushindi tunaoMnaonaje mechi ya leo?
Ndio muache kumbeza kwa ubaguzi sasa.Duh...Ayoub Katuokoa tena