Bado haujasema.I swear this is not wydad that we all know!!
Wydad sio wa kuchezewa hivi mbele ya mashabiki zake Tena kwenye mechi ambayo ushindi ni lazima
Usidandie comment niko neutral, siko utopoli wala makolo. Umeshaona wanachokifanya Chama na Baleke lakini?K
Kwani kwenye kundi lenu hamchezi muwe mnawafunga hizo 3? Au mlivyofungwa tatu mnaona kwenu ni ushindi ugenini? Utopolo hamnazo.
Usisahau hii ni Simba ya BenchickhaI swear this is not wydad that we all know!!
Wydad sio wa kuchezewa hivi mbele ya mashabiki zake Tena kwenye mechi ambayo ushindi ni lazima
Simba bwana .yaani timu mbovu anashindwa kuifunga?
Kwa hiyo kwa sababu ulimuona kuanzia mechi ya kwanza mpaka ya mwisho basi yeye ndio alikuwa chaguo Bora kabisa miongoni mwa mastriker lukuki wanaopatikana nchini ufaransa sio?Kwa hiyo mkuu unataka sema kocha wa ufaransa alikua kila na alijua jamaa sio strika mzuri na akampanga?
Sare kwetu ni kawaida tuMakolo mnafurahia sare ?