blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Eh.. acha ujinga..Mwee Pira hili....Na Chama Bado Hajaingia..!
Hizo ndo nuksi za team sasa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eh.. acha ujinga..Mwee Pira hili....Na Chama Bado Hajaingia..!
Fungeni magoli kima nyinyi...Mpira unapigwa aisee
We yanga huwez elewa mkuuMbona sielewi elewi?
Kesha wakata vidomo domo 😂😂Huyo sio pazia,
Kibu ni mkabaji mzuri tu.Hivi kocha wa mastriker pale Simba Huwa anafundisha Nini hasa? Hivi anawajua hata wachezaji wake kweli?
Mtu kama K.Denis anarudi kukaba hili iweje wakati hata kukaba penyewe hajui?
Nafikiri Kibu denis ndio mshambuliaji anaeongoza kwa kucheza faulo kwenye Ligi nzima ya NBC
Ngoja irudiweHaya majinga yamekosaje penalty
Haya tushazoea ni maneno yanu na mliyasema kwa al.ahly na mwisho.wa siku mnajua kilichotokeaHawa warabu, wangekutana na Yanga, wangekunywa goli nyingi.
Wakubwa sisiHawa Wydad wa msimu huu hakuna kitu kabisa. Yaani mpaka Onana anayetukanwa kila siku na mashabiki wa timu yake eti anaonekana ni star!!!
Hawa warabu, wangekutana na Yanga, wangekunywa goli nyingi.
Leo anakufa kwa mkapa?Waydad Leo anakufa Kwa mkapa
Ushasema ni majinga ahaha AHAHaya majinga yamekosaje penalty