Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Em huko nawee, mfyuuuuhHeh!![emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
Kojoa ulale.
Mambo kwa Wydad 🤠!Mambo
Wapigwe tuuBora wamefungwa. Wangepata hata sare tu, wangeendelea kuchonga. Sasa nchi itatulia.
Bahati mbaya tu hiyo.......bado hatujafika tamati.Hola holaaaaa, mlitaka sare muendelee kushona vijora?
KuwaMlitusema sana jana🤣🤣🤣
Huu umekuwa msimamo wangu siku zote mkuu haujawahi badilika.Mara hiii!!! 😁
Kesho wakiamka, wataanza tena zile kelele zao za kumkataa Mangungu, na baadhi ya wachezaji. 😁makolo wanaongea aisee!yan humu jf ni thread zao tu za kujisifia kama sio wale waliopigwq kono la nyani 😀
Mshaanza tena 😀,makolo inabidi mpepewe 😂Simba pale kuna wachezaji wa kutimua
Mbele pale hakuna foward kabisa
Angalia
Baleke
Ntiba
Kibu wote majanga mtu yupo na kipa anapiga nnje
Anzeni Sasa KWA NKAPA hatoki mtu
Ndio mpira huo bibieMambo kwa Wydad 🤠!
Leo mmejua kufia timu walahi!
Akili hawana 😂Kesho wakiamka, wataanza tena zile kelele zao za kumkataa Mangungu, na baadhi ya wachezaji. 😁
Aiseeee kolo nyawa nka wa wydad ( maanake kolo ameolewa na wydad kwa lugha ya kijerumani )Wamekazwa kimoja cha mwishoni hadi wamelowa
Malalamiko tena?Huu utaratibu wa kuongeza dk zaidi umetoka wapi hawa mikunduuu wamebebwa kmk