mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Wanathiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimbaaaaaaa[emoji350][emoji350]
Hayawi hayawi Sasa yamekuwa, Ile siku iliyosubiliwa Kwa hamu na waarabu wote hatimaye imefika..
Ni siku ya hukumu kwa mnyama Simba
Ni siku ambayo taifa la Tanzania linaenda kupata aibu kwa kipigo kizito watakachoenda kushushiwa Simba na waarabu wa Morocco.
Mwana kulitafuta mwana kulipewa, mtoto akililia wembe mwache umkate,
wameingia cha kike eeh waaah!!!
Kuwa nami mwarabu feki upate kile kitakachojiri pale katika Dimba la Mohamed V (machinjioni) Jijini Casablanca...
Mechi hii ya kukata na shoka itaanza majira ya saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika mashariki na itarushwa na Azam Sports kupitia Channel ya ZBC2
Kaa nami mwanzo Mwisho......
Rest in peace Simba[emoji3545]
Timu zote tayari zimeshaingia uwanjani kupasha misuli tayari Kwa mpambano huu wa Leo [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
00" Mpira umeanza hapa katika uwanja wa Mohamed V Wydad ndio wamekuwa wa kwanza kugusa Mpira ule
03" Wydad wameanza kusaka bao la mapema
06" Simba wanapata kona ya kwanza ya mchezo ila haikuzaa bao
13" Milango bado migumu kwa pande zote mbili
20" mashambulizi yanaongezeka kuelekea lango la Simba, ila golikipa Ally Salum anakaa vema na kuondoa hatari ile
24" Goooooooo Wydad wanapata goli la kwanza
30" Simba inapataa faulo eneo zuri lakini mpira unaokolewa na kuwa ni wa kurusha kuelekea lango la Simba
45"+1 Imeongezwa Dak 1 ya nyongeza hapa
Mpira ni mapumziko Wydad wanaongoza Kwa goli moja
Kipindi cha pili kimeanza
46" wanaanzisha mashambulizi kupeleka lango la wydad
49" Wydad wanafanya shambukizi Kali lakini mpira unaenda nje
60" mashambulizi ni makali sana langoni mwa Simba ila Bado wameshikilia bomba
90"+4 Zimeongezwa Dak 4, bado Wydad wako mbele Kwa goli 1 kwa bila
Naam mpira umekwisha..
Hatua inayofuata ni mikwaju ya penati kuamua mshindi
Wenyeji wanafanikiwa kusonga mbele kwa penati 4-3 baada ya Shomari Kapombe na Clatous Chama kukosa mikaju yao.
View attachment 2602892View attachment 2602894
Hayawi hayawi Sasa yamekuwa, Ile siku iliyosubiliwa Kwa hamu na waarabu wote hatimaye imefika..
Ni siku ya hukumu kwa mnyama Simba
Ni siku ambayo taifa la Tanzania linaenda kupata aibu kwa kipigo kizito watakachoenda kushushiwa Simba na waarabu wa Morocco.
Mwana kulitafuta mwana kulipewa, mtoto akililia wembe mwache umkate,
wameingia cha kike eeh waaah!!!
Kuwa nami mwarabu feki upate kile kitakachojiri pale katika Dimba la Mohamed V (machinjioni) Jijini Casablanca...
Mechi hii ya kukata na shoka itaanza majira ya saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika mashariki na itarushwa na Azam Sports kupitia Channel ya ZBC2
Kaa nami mwanzo Mwisho......
Rest in peace Simba[emoji3545]
00" Mpira umeanza hapa katika uwanja wa Mohamed V Wydad ndio wamekuwa wa kwanza kugusa Mpira ule
03" Wydad wameanza kusaka bao la mapema
06" Simba wanapata kona ya kwanza ya mchezo ila haikuzaa bao
13" Milango bado migumu kwa pande zote mbili
20" mashambulizi yanaongezeka kuelekea lango la Simba, ila golikipa Ally Salum anakaa vema na kuondoa hatari ile
24" Goooooooo Wydad wanapata goli la kwanza
30" Simba inapataa faulo eneo zuri lakini mpira unaokolewa na kuwa ni wa kurusha kuelekea lango la Simba
45"+1 Imeongezwa Dak 1 ya nyongeza hapa
Mpira ni mapumziko Wydad wanaongoza Kwa goli moja
Kipindi cha pili kimeanza
46" wanaanzisha mashambulizi kupeleka lango la wydad
49" Wydad wanafanya shambukizi Kali lakini mpira unaenda nje
60" mashambulizi ni makali sana langoni mwa Simba ila Bado wameshikilia bomba
90"+4 Zimeongezwa Dak 4, bado Wydad wako mbele Kwa goli 1 kwa bila
Naam mpira umekwisha..
Hatua inayofuata ni mikwaju ya penati kuamua mshindi
Wenyeji wanafanikiwa kusonga mbele kwa penati 4-3 baada ya Shomari Kapombe na Clatous Chama kukosa mikaju yao.
View attachment 2602892View attachment 2602894