zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
Mbona ata uyo mzuriLA!! Manula angekuwepo kwenye matuta lazima angesavu walau moja!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah nmecheka mnooRefa maliza mpira niachie hzi pumbu unataka zikatike? Make zimekua nyekundu mpka basi
Ulitaka onyango afanyeje wakat alisharuka mpira ukawa uko juu kumzidi.lakini pia angalia umbali wa onyango na mfungaji.ni karibu nusu mita.au ulitaka awe malaika.wabongo tupunguze ujuaji usio na sababu.Hili goli ni la onyango...huwezi kumuacha stiker anapiga kichwa huku umemgeuzia matako.
Hataki kumaliza mechi nini?refa ana ajenda gani