Labda kipindi cha 2 kocha atabadilisha mbinu.Hawa lazima Mwarabu awalaze na viatu sioni mipango ya ushindi,wenzao wakitoa draw tu wamepita.
Amka Bado Ni mapema Utajikojolea KitandaniKipindi cha pili Yanga tunachukua points zetu
Mwarabu Koko ...Waarabu Msiniudhi sasa
Sina la kuongeza tusubiri 90'Amka Bado Ni mapema Utajikojolea Kitandani
Umeamka KumbeSina la kuongeza tusubiri 90'
Apambane Sasa ashinde....Yanga ataongoza hili kundi
Wewe unatakaje? Alger wameusoma mfumo wa yanga wameudhibiti mpaka sasa. Ile gusa achia haionekani at the momentHAWA NI YANGA KWELI AMA?
2nd half nakuja kukukojolea mabao 2 tu jiandaeUmeamka Kumbe