Alisikika Chura Mmoja AkitapikaHakuna mchezaji wa simba anaweza pata namba yanga mkuuππππ
Nikiona jina lako nakumbuka mambo ya make tanzania great again ππMnatuchanganya Sasa Mtuache Tumuangalie Mwarabu
Hayo Mkayajadili kwenye Supu
Sio anaweza ameshaaga mashindano teyari huu mpira anaochezahyanga hawatapata goli hata la machozi..mpira wa kawaida sana wanacheza.Ikifika sakika ya 70 bilabila,MC Alger watazidisha kuangukaanguka na possibly,Yanga anawaeza akaaga mashindano hivihivi.Mwalimu awaingize Pacome na Chama,wasaidie kipindi cha pili.Kila la heri Yanga.
π€£Mnazo mmefuzu!!!??? Akili zenu aisee!!!
Madako yaoπππππAlisikika Chura Mmoja Akitapika
Ana utulivu sasa Dube hata kutoa pasi hawezi.Chama kimbiza kimbiza si mechi zake, team ikiwa inaongoza ndio aingie
Hesabu zinaendeleaπππ
Mtashinda mkuu amini hivyo.Hii game imetukamata hatutoboi
Nipo uwanjani hapa watu wanalia sanaHii game imetukamata hatutoboi
Tuzidi Kuwaombea Waarabu kwaleoSio anaweza ameshaaga mashindano teyari huu mpira anaochezahyanga hawatapata goli hata la machozi..mpira wa kawaida sana wanacheza.
KisaaNipo uwanjani hapa watu wanalia sana
muulize Cr7Katika hao nani ana Umri Mkubwa? Tuanzie hapo.!
Waambie Waache UchimviNipo uwanjani hapa watu wanalia sana
UongoHakuna mchezaji wa simba anaweza pata namba yanga mkuuππππ
Kocha kazingua kuanza na MusondaNipo uwanjani hapa watu wanalia sana
Umeinua mikono juu mapema sana.....uoga huuHii game imetukamata hatutoboi