FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

innal hamda lillah nahmaduhu wa nasta’inuhuβ€¦πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­ kipindi cha pili
 
Ikifika sakika ya 70 bilabila,MC Alger watazidisha kuangukaanguka na possibly,Yanga anawaeza akaaga mashindano hivihivi.Mwalimu awaingize Pacome na Chama,wasaidie kipindi cha pili.Kila la heri Yanga.
Sio anaweza ameshaaga mashindano teyari huu mpira anaochezahyanga hawatapata goli hata la machozi..mpira wa kawaida sana wanacheza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…