msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
busha halijapona vizurikwan Chama anashida gan
Allah uwakibar! ndiyo nini mkuuYanga out! Allah uwakibar!
Unamaanisha Bahasha nini ?Mission za marefa zinaanza
Kazi kweli kweliYaani ninekaa Na Uto hapa lina Presha kweli😂😂
Yanga hata ashinde goli Mia2 hawezi kuongoza kundi, head to head na Al hilal haimpi nafasi,Yanga ataongoza hili kundi
Utopolo wapo nafasi ya 5, hujahudhuria vikao vya humu.MC Algiers ni Vibonde wako nafasi ya 21 vs Utopolo walioko nafasi ya 10 Kwa CAF ranking.
Kushindwa kuwafunga Vibonde manake Uto ndio Vibonde twice 😂😂
Kuwa mpoleHapo kwa kibwana hakuna mchezaji