Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kimya vipi? Mlitaka hii droo???Makolo kimya!
Nyie mlishindaYanga wanashangilia draw nyumbani hahahahah
Kwao ndo ushindi huoKimya vipi? Mlitaka hii droo???
Umepigaje apoooPacomeeeeere
Wamechanganyikiwa wanajua wako ugeniniYanga wanashangilia draw nyumbani hahahahah
MhmmWamesawazisha
NashangaaKimya vipi? Mlitaka hii droo???
Walitucheka tulipotoa draw leo nao yamewakutaYanga wanashangilia draw nyumbani hahahahah
Si mliona wameshinda mkaanza maneno kiko wapiHahhaah yani mnashangilia drooo hahhahahha
Yanga wanashangilia draw nyumbani hahahahah
Hakuna cha kiko wapi maneno ni yale yale tuu...mliitaka hii droo?Si mliona wameshinda mkaanza maneno kiko wapi
Ngoma droo iyoMatch ime isha ? Kama bado tulia apo kwanza