FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

Mpira huu watu wawili wanawasumbua ndio huwa mnapiga kelele mna timu??
 
Yani hawa jamaa kama ugenini wanacheza hivi sipati picha huko kwao ambako mechi ndogo tu ya kirafiko tuliocheza nao siku ile mashabiki wao walikuwa na vibe utafikiri final ya CAF

Yanga waangalie vizuri mechi hii ikiisha hivi bila kufarijiana mi nadhani focus yao ijikite federation na NBC
 
Al hilal wanaonekana wako moto nao kwa sasa. Shughuli pevuu
Ilitakiwa wawekwe goli kipindi cha kwanza ili waendelee kupaki basi kwa kuhofia kuruhusu magoli mengi, sasahivi majamaa yamewazoea[emoji16].
 
Dkk 45 za kipindi cha kwanza huwa wanazichezea tu, kipindi cha pili ndio wanaanza kucheza mpira, iko siku mtajuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…