Nipo hapa msudan naitwa Al Minyato[emoji102]Wasudani tutambuane humuu tafadhali
Hajui kupiga krosiHuyu TK master mbona anazunguk zunguka tu?
Mme anza kufarijiana utopolo fcYanga ana nafasi ya kuwapiga kwao sudan
Wameamka sasa. Kuna mtangazaji hapa sijui ni Simba. Yani Al hilal walivyofunga, alirukaaaa na kelele juu gooooooooo mpk kazirai. Watu noumaa[emoji1]Walikuwa wanazoom tu
uouo muda na Al hilal wanaweza kuutumia kuongeza chuma cha pili.Wananchi tulieniiiiiiii muda upo [emoji172][emoji169]
watacheza nini sasa?mpira uisheeeeee
Hauwezi kutenganisha utopolo na Mayele.Bila Mayele utopolo hamna kitu
Ww acha kujifariji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yanga ana nafasi ya kuwapiga kwao sudan
Nyingine hii hapa.Tulitunza risitiView attachment 2380823
Game tough nduguYanga ana nafasi ya kuwapiga kwao sudan
[emoji3577][emoji172]Tupoooooooooooo[emoji169][emoji172]
huyo labda Manara impite hiyo, vinginevyo atakula naye sahani moja kwenye mitandaoKuna mtangazaji hapa sijui ni Simba. Yani Al hilal walivyofunga, alirukaaaa na kelele juu gooooooooo mpk kazirai. Watu noumaa[emoji1]