FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

Mtangazaji wa redio anasema mashabiki wa Yanga wanaanza kuondoka
 
Yanga kuna Wazee Wengi Sana...Wa Pensheni.!
1. Juma Shabani
2.Khalid Aucho
3.Kisinda
4.Bangala
Hawa Wote Walishamaliza boli La Ushindani Kule Kongo Na Uganda
Hao wote ninaweza kuwavumilia ila kwa KISINDA na MOROCO, me mpaka sasa sielewi wanatafuta nini hapo.

Hebu mzingatie Kisinda[emoji23].
 
Hizi kimataifa zinawenyewe ooh CAF mtupost kwa pira mavi hili mkienda Sudan mnapigwa 8
 
Wana Yanga eeh nilikuwa na nyinyi katika kipindi kirefu kabla ya kuifikia siku hii ya leo.

Nimewapa support na kuwashangilia (kasoro tu kuwaombea kwasababu siamini kwenye mambo hayo)

Al Hilal ni timu kubwa na ngumu kiupinzani tofauti na Zalan, matokeo haya ya leo kufikiria kuwa mkiwa ugenini mtapindua meza ni probability ngumu sana.

Hongereni kwa perfomance yenu uwanjani bado mna nafasi (japo kihalisia ni ndogo)

Naomba niishie hapa na kwa sasa comment zinazofata baada ya hapa naomba msizizingatie maana ni utani tu.
 
Back
Top Bottom