Lkn pmj na hayo Morrison alicheza kislow San sijui kwa sababu ya jerah la mdomoni ,hvyo Bado nina imani 80 %yanga kusonga mbele hata huko kwao tutapata matokea tuSio ya kutisha kweli ila kuna kucheza mpira na kushindana! Yanga imecheza mpira ndio nafasi zimetengezwa nyingi lakini kuzibadilisha kuwa magoli imekua ngumu! Kwenye hatua kama hizi timu bora inatengeneza nafasi chache na zote inazitumia! Tujiulize swali jepesi kwa nini Morrison ameonyesha uhai kuliko wachezaji wengine?
Tuombe uzima, kesho uwe hapa...Matokeo yana mipira mitatu,haa haa
Ngoja azam tuwaoneshe kushinda kimataifaMpira una matokeo matatu. Kufungwa, kushinda na sare, tumetoka sare. Yanga imejitahidi, tumewasoma vizuri, tumeanza kupata goli na kukosa pia. Tumezuia magoli, asante kipa wetu.
Yanga hii hii mnayoidharau leo, huwa inawalaza na viatu. Kama Yanga ni mbovu, basi makolo ni wabovu zaidi yaaa... huwa mnashinda kibahati bahati tu huko...
Sudan tunakuja...
Kumbe huwq wanasubiri?Itabidi sasa huko ugenini Yanga wafunge tu kipindi cha Kwanza. Wasisubiri huo mtindo wao wa kipindi cha 2
Paragraph mbili za mwisho nimezielezea kwenye post #638Shukran kwa Mwenyezi Mungu.
Ahsante kwa bench zima la ufundi,ahsanteni wachezaji wote,hakika hayo ndo matokeo tuliopangiwa.
Ujumbe kwako goli kipa wetu screen protector pole kwa maswahibu uliyo yapata leo na pia usichoke.
Na hii yanga yetu jamani ni unbeatenbado hatujapoteza.
Daima mbele nyuma mwiko.
Watafunga na makosa madogo madogo watarekebisha na namshauri kocha aanze na kikos hiki hiki Cha kwanzaItabidi sasa huko ugenini Yanga wafunge tu kipindi cha Kwanza. Wasisubiri huo mtindo wao wa kipindi cha 2
Kama ngoma au round hii mnakuja na slogan nyingine?Tutaenda kuwapiga kwao
Hata shirikisho hawaendi mkuu, maana watapewa opponent ambaye nae katoka kwenye michuano ya CAFCL, moto utawaka[emoji1].Yanga hata wakienda makundi shirikisho watakuwa wamejitahidi tu, CL bado wachanga..
Sawa...Ngoja azam tuwaoneshe kushinda kimataifa
Niko pale utaniita AshuraTutaenda kuwapiga kwao
Mmekoswa goli nne za wazi na kipa ndo kawaokoa, kisha unasema nini..?[emoji23]Kama unajuwa mpira utakubaliana na mm kuwa level ya Al hilal siyo ya kutisha kwa hvyo hata yanga anaweza pia kupata goli ugenini
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
πππππ π π πYanga atashinda hi game hakuna upinzani ..Kuna katitiz kadgo ila yapo matumanini
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
FEI kachezeshwa chiniHuyu mtangazaji wa redio mkorofi sana
Eti Fei ile mishuti yako leo iko wapi?
.Matokeo yana mipira mitatu,haa haa