goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Lkn pmj na hayo Morrison alicheza kislow San sijui kwa sababu ya jerah la mdomoni ,hvyo Bado nina imani 80 %yanga kusonga mbele hata huko kwao tutapata matokea tuSio ya kutisha kweli ila kuna kucheza mpira na kushindana! Yanga imecheza mpira ndio nafasi zimetengezwa nyingi lakini kuzibadilisha kuwa magoli imekua ngumu! Kwenye hatua kama hizi timu bora inatengeneza nafasi chache na zote inazitumia! Tujiulize swali jepesi kwa nini Morrison ameonyesha uhai kuliko wachezaji wengine?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app